Magoli Ya Yanga смотреть последние обновления за сегодня на .
Magoli mawili kutoka kwa Dickson Job na Stephane Aziz Ki yameipa Yanga ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Haya hapa magoli yenyewe....
Magoli mawili kutoka kwa Dickson Job na Stephane Aziz Ki yameipa Yanga ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Tazama highlights.......
Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: 🤍 HabariLeo: 🤍 DailyNews: 🤍 INSTAGRAM; HabariLeo: 🤍 SpotiLeo: 🤍 TWITTER; Twitter HabariLeo: 🤍
Yamefungwa magoli saba, yote yakitoka Yanga dhidi ya Rhino Rangers kutoka Ligi Daraja la Pili, katika mchezo wa kusaka kuingia hatua ya 16 bora, Azam Sports Federation Cup uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kennedy Musonda amefunga magoli mawili dakika ya 16 na 46 huku mengine yakitoka kwa Dickson Ambundo dakika ya 7, Stephane Aziz Ki dakika ya 20, Farid Mussa dakika ya 25, Yannick Bangala dakika ya 26 na David Bryson dakika ya 90'+3. Kwa ushindi huu, Yanga sasa itakipiga dhidi ya Tanzania Prisons katika hatua ya 16 bora.
KARIAKOO DERBY: Yanga wametwaa #NgaoYajamii kwa mara ya pili mfululizo wakiwafunga Simba kwenye #KariakooDerby iliyopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli yote mawili ya Yanga yamefungwa na Fiston Mayele dakika ya 50 na 81 baada ya Simba kutangulia kwa goli la Pape Ousman Sakho. Haya hapa magoli yote....
Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Magoli ya Simba yamefungwa Jean Baleke dakika ya 8, Saidi Ntibazonkiza dakika ya 21 na Pape Sakho dakika ya 63 huku goli pekee la Singida likitoka kwa Bruno Gomes aliyefunga kwa free kick dakika ya 35.
DAR DERBY: Yanga imeitandika Azam FC mabao 3-2 kwenye Uwanja wa benjamin Mkapa, Dar es Salaam, mchezo wa #NBCPremierLeague Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yamefungwa na Fiston Mayele dakika ya 31', Stephane Aziz Ki dakika ya 33' na Farid Mussa dakika ya 78' wakati Azam wakipata magoli yao yote mawili kupitia kwa Abdul Hamis Suleiman Sopu dakika 27 na 47.
Yanga imetumia kipindi cha pili kufunga magoli matatu ikiipa kichapo cha 3-0 Polisi Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Wafungaji wa mabao hayo ni Jesus Moloko dakika ya 47, Fiston Mayele dakika ya 77 na Clement Mzize dakika ya 86. Katika mchezo huu pia, Polisi Tanzania walipata pigo kwa mshambuliaji wao Ambrose Awio kutolewa kwa kadi nyekundu kufutia kadi ya pili ya njano.
Tazama magoli yote ya Yanga SC ikiichapa Zalan FC 5-0 kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Magoli matatu yamefungwa na Fiston Mayele na mengine yamefungwa na Farid Mussa na Stephane Aziz Ki
HATTRICK: Straik Fiston Mayele amepiga #hattrick Yanga ikiishushia kichapo kichapo kizito cha mabao 4-1 Singida Big Stars katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Mayele amefunga magoli yake dakika ya 16, 27, na 56 huku Kibwana Shomary akifunga goli lingine dakika ya 48 na goli pekee la kufutia machozi kwa Singida likitoka kwa Medie Kagere dakika ya 66. Haya hapa magoli yote...
Tazama magoli yote ya Yanga SC ikiichapa Mtibwa Sugar mabao 3-0 kwenye mchezo wa NBC Premier League uliopigwa dimbani Benjamin Mkapa. Wafungaji ni Djuma Shaban, Fiston Mayele na Stephane Aziz Ki
#daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
Mabingwa watetezi… Yanga SC leo wamtoa kichapo kingine kwa Coastal Union, wakiwapiga 3-0 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, ukiwa ni mchezo wa marudiano, ligi kuu ya NBC Tanzania Bara. Fiston Mayele amefunga mawili dakika ya 29 na 47 huku Feisal Salum akiongeza la tatu dakika ya 66.
Derby ya Dar es Salaam kati ya Yanga vs Azam FC imemalizika kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, katika mechi kali na tamu ya ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague Magoli ya Azam FC yametoka kwa Daniel Amoah dakika ya 25, na malickou Ndoye dakika ya 65 wakati Yanga ikijipatia magoli yote mawili kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 57 na 77. Katika mechi hiyo pia Yanga imepoteza nafasi ya goli kwa kukosa penati dakika ya 69.
Yanga na Simba katika #KariakooDerby wameshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo Oktoba 23, 2022 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Magoli yote yamefungwa kipindi cha kwanza, ambapo Simba wametangulia kwa goli la Augustine Okrah dakika ya 15 huku Yanga wakichomoa dakika ya 45. Haya hapa magoli.
HAT-TRICK: Clement Mzize amefunga magoli manne na kuondoka na mpira wa #hattrick katika ushindi wa 8-0 iliyoupata Yanga dhidi ya Kurugenzi FC inayoshiriki First League (Ligi daraja la Pili) kutoka Maswa mkoani Simiyu. Mzize amefuga magoli hayo manne sekunde ya 15, dakika ya 8, 41, 45'+4 ..... Mengine yamefungwa Jefta John dakika ya 6 likiwa ni la kujifunga, David Bryson dakika ya 77 na Yusuph Athuman dakika ya 79 na 85. Hii ni mechi ya raundi ya pili #AzamSportsFederationCup iliyopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Magoli mawili ya Fiston Mayele dakika ya 24 na 79 yameipa Yanga ushindi wa 2-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania #NBCPremierLeague ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Haya hapa magoli yote mawili.
Fiston Mayele amefunga tena kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika, Yanga ikitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Al Hilal Oumdurman ya Sudan, kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Goli la Al Hilal kwenye mchezo huu limepatikana kutoka kwa Mohamed Yousif ikiwa ni takriban dakika 15 baada ya Yanga kutangulia dakika ya 51.
Tazama magoli yote manne ya Yanga SC, ikiiadhibu Zalan FC kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF). Fiston Mayele amefunga hat trick na kuondoka na mpira huku goli moja likifungwa na Feisal Salum
Fiston Kalala Mayele Football player Born: June 24, 1994 (age 27 years), Mbuji-Mayi, Democratic Republic of the Congo Current teams: DR Congo national football team (#19 / Forward)
Fiston Mayele amefunga magoli mawili dakika ya 41 na 67 akiipa Yanga ushindi wa mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Liti mkoani Singida, ikiwa ni mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara. #NBCPremierLeague Haya hapa magoli....
Magoli mawili kutoka kwa Yannick Bangala (40') na Tuisila Kisinda (83') yameipa Yanga ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya Namungo FC, mechi ikipigwa kwenye Dimba la Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi. Ushindi huu ni kwanza kwa Yanga ugenini dhidi ya Namungo FC kwenye ligi kuu... katika michezo saba waliyokutana.
Hatimaye Ihefu SC wamevunja mwiko wa Yanga kutopoteza mchezo katika mechi 49, wakiwatandika 2-1 kwenye Uwanja wa Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya. Yanga wametangulia kwa goli la Yanick Bangala dakikaya 9, kabla ya Never Tigere kusawazisha kwa free-kick dakika ya 39... Lakini Lenny Kissu akafunga kona iliyopigwa na Never Tigere dakika ya 62. Mara ya mwisho Yanga kupoteza mchezo wa ligi kuu ilikuwa ni Aprili 25, 2022.
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya NBC, Yanga SC wamepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ruvu Shooting, katika mchezo uliopigwa leo kwenye Dimba la benjamin Mkapa, Dar es salaam. Magoli ya Yanga yamefungwa na Feisal Salum na Bakari Mwamnyeto kipindi cha pili wakati goli pekee la Ruvu likifungwa na Rolland Msonjo dakika ya 86.
Ni katika kuadhimisha mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani, timu ya viongozi wa Yanga imecheza mechi ya kirafiki dhidi ya timu ay wasanii (muziki na filamu) kwenye Uwanja wa benjamin Mkapa na mechi kumalizika kwa timu ya viongozi wa Yanga kupata ushindi wa mabao 2-1. Wafungaji ni Yusuph Mlela upande wa Wasanii na Mohamed Hussein (Mmachinga) na Hersi Said wakifunga magoli ya Yanga
YANGA BINGWA: Ni mechi ambayo Yanga waliitumia kutangaza ubingwa wao wa 28 kwenye ligi kuu Tanzania Bara kwa kuitandika Coastal Union mabao 3-0 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Fiston Mayele amehusika kwenye magoli yote matatu, akifunga mawili na kusaidia moja lililofungwa na Chiko Ushindi. Haya hapa magoli
Yanga na Simba katika #KariakooDerby wameshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo Oktoba 23, 2022 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Magoli yote yamefungwa kipindi cha kwanza, ambapo Simba wametangulia kwa goli la Augustine Okrah dakika ya 15 huku Yanga wakichomoa dakika ya 45.
Kosa moja, Goli moja... Ndicho kilichomkuta golikipa wa Ihefu, Fikirini Bakari mbele ya Fiston Mayele aliyeifungia Yanga goli pekee kwenye mchezo huu akitumia makosa ya golikipa huyo.... Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Tazama kilichotokea
Fiston Kalala Mayele amefunga goli la ushindi kwa mtindo wa aina yake na kuifanya Yanga iondoke na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Azam ndiyo waliotangulia kupata bao kupitia kwa Rodgers Kola kabla ya Yanga kusawazisha kwa penati kupitia kwa Djuma Shabani na kisha Mayele kupachika bao la pili dakika ya 78.
MAGOLI YOTE YA YANGA MSIMU WA 2021/22 HADI MWEZI WA 12
Yanga imeendelea kukusanya alama baada ya leo kuitandika Coastal Union mabao 2-0 katika mchezo wake wa pili wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara msimu huu wa 2022/23 uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha. Magoli ya Yanga yametoka kwa Bernard Morrison dakika ya 4 na Fiston Mayele dakika ya 68. Haya hapa magoli yote.
After the signing of new player in 2020 -2021 and bad performance the young Africa sports club fire the head coach cedric kaze and appoint Nasreddine Nabi Tunisian football manager as new head coach since April 2021.The 2021-2022 season start like any other season but this was different since young African sports club managements under doctor Mshindo Msolla and gsm under engineer hersi said invest heavily in new players like fiston mayele, djuma shaban ,yannick bangala ,jesus moloko ,khalid aucho and Djigui Diarra and the new club spoken from their rival simba Haji Sunday manara ,the new squad under the coach nabi start well by beating their rival simba sport club one nil scored by fiston mayele assisted by farid mussa in the community shield (ngao ya jamii) Young African sports club start the 2021-2022 league campaign with narrow win away against Kagera sugar scored by feitoto and another win home against Geita gold followed by wonderful performance against kmc fc azam fc and ruvu shooting and this become the first time young African sports win five matches consecutive in the league in four seasons. After young African sports club lead the nbc premier league since the third round and the first round their opponent especially simba fans and their managements say there are always lead the first round and start lose points in the second round buts this time was different After game weeks 25 its come to count down after their rivalry simba drew one one against Geita gold, the next game week of game week of 26 was against biashara united in which if yanga win there are the champions but unfortunately the game end one one after fiston mayele goal equalized after two minutes by biashara united in ccm kirumba stadium.
Tazama magoli 15 bora ya Tanzania NBC premier league kwa msimu ulioisha (2021/2022) Watch 15 best Tanzania NBC league goals scored last season 2021/2022. #Magoli15bora #magoli #magolibora #nbcpremierleague #mayele #feitoto #feisalsalum #sakho #okrah #phiri #akpan #aziziki #Yanga #YangaMchezowakirafikileo #simba #Kambiyayanga #Yangaday #Msuva #azizki #Yangasc #Usajilileo #jezizayanga #yezimpyasimba #jezizasimba #Uchambuzi #UsajiliYanga #Azamtv #Caf #Yanga #ClubBingwaAfrika #Georgempole #UsajiliYanga #Yangaleo #Saimonimsuva #Caf #Yangaleo #yanga #KamboleYanga #usajiliwayanga #Tetesizausajili #Tetesizausajiliyanga #tetesizausajilimsimuujao #Usajiliyanga #simbasc #usajiliwasimba #UsajiliwaManzokisimba #hajimanara #fyp #viral #football #simbasc #yangasc #usajiliwasimba #usajiliwayanga #usajiliyangasc #usajilisimbasc #Tff #transfermarkt #alahlytv #Wydadyclub #Caf #Manara #AhmedAlly #Nanizaidi #usajilileo #KochaMpyaSimba #MchezajimpyaYanga #mchezajimpyasimba #UsajiliwaSimba2022na2023 #UsajiliwaYanga2022na2023 #simbasc #yangasc #usajiliwasimba #usajiliwayanga #usajiliyangasc #usajilisimbasc #Tff #transfermarkt #alahlytv #Wydadyclub #Caf #Yangatv #Manara #AhmedAlly #Nanizaidi #usajilileo #KochaMpyaSimba #MchezajimpyaYanga #mchezajimpyasimba #UsajiliwaSimba2022na2023 #UsajiliwaYanga2022na2023 #cloudsmedia #wasafimedia #magazeti #mwananchi #mwanasports #champion #yangasc #simbasc #diamondplutnumz #alikiba #harmonize #marioo #chelsea #mancity #nbc #epl #music #songs #juakali #kitimtim #azamtv #azamfc #messi #ronaldo #mpole #mayele #mwanza #diamond #mavala #biashara #mbeyakwanza #coastalunion #prisons #ruvushooting #mbeyacity #polisitanzania #chelsea #madrid #liverpool #paris #manchesterutd #arsenal #barcelona #azamsports #alahly #caf #orandopirates #mamelod #kaizercheifs #rsbercane #chipolopolo #nbcpremerleague #tff #mwanza #cask #adidas #nike #puma #millardayo #mpenjatv #mavalatv #ayomatv #ozil #benzema #messi #ronaldo #neymer #benzema #vinjr #werner #hazard #james #kdb #mpole #mayele #inonga #feytoto #golilafei #kibudenis #chama #bwalya #mkude #manula #beno #morrisoni #wawa #mwamnyeto #pablo #gomezi #maloko #aucho #ushindi #bangala #job #tips #sureboy #alahly #clubbingwaafrica #wydadybingwa #juakali #kitimtim #oka #worldcup #channel10 #azamtv #tv3 #huba #saidontibazonkiza #huba #juakali #bigsundaylive #sportsarena #sportscourt #sportsextra #edigital #mashamsham #goodmorning #xxl #jahazi #millardayo #marioo #barnaba #mwantumu #jambonavijambo #worldcup #manula #shabalala #kapombe #inonga #onyango #mkude #mzamiru #kanoute #bwalya #chama #sakho #banda #mhilu #morrison #kagere #mwanuke #mugalu #kibudenis #nyoni #diara #bangala #job #mwamnyeto #kibwana #shabanidjuma #aucho #yacuba #mayele #moloko #faridmusa #deuskaseke #sureboy #mpole #singidabigatars #dtb #azamfc #kagerasuger #mtibwasuger #biasharautd #dodomajiji #tetesizausajili #manzoki #uganda #tanzania #kenya #uganda #newsongs #babalevobirthday #babalevo #vidolezimbabwe #roma #kichampyaaimbaac #nabi #yangabingwa #kochaorlando #mossesphili #azizki #wananchi #odoah #mitindo #vunjabei #messi #magoliyamessi #magolimatanoyamessi #uefa #love #mapenzi #movies #mbosso #okabehindthesceen #rayvanyftzuchu #diamondftbabalevo #diamondftmbosso #bobjuniorkwababalevo #bobjunior #kajala #harmonizemtwara #paula #youtubeislife #subscriber #youtubeguru #youtubecontent #newvideo #subscribers #youtubevideo #youtub #youtuber #youtubevideos #fashionstyle #lifestyle #makeupvideo #makeuptutorial #jeffreestarcosmetics #art #fashion #beautytips #subscribe #viral #gamer #rap #facebook #explore #ps #art #soundcloud #k #artist #newmusic #trending #bhfyp #likeforlikes #fortnite #followforfollowback #photography #funny #meme #m #applemusic #s #rapper #fashion #podcast #producer #a #game #twitter #xbox #playstation #itunes #likes #vlog #sub #trap #streamer #live #f #games #o #youtube #meme #viral #explorepage #likes #bhfyp #tiktok #trending #live #hiphop #video #youtube #rap #gaming #fortnite #gamer #game #games #xbox #producer #youtuber #youtube #youtubegaming #youtubemusic #youtubeindia #youtubekids #youtuberindonesia #youtubeitalia #youtubeuse #youtubegamer #youtubelife #youtubesubscribers #youtubersbrasil #youtubebrasil #youtubelive #youtubecommunity #youtubeblogger #youtubecreator #youtuberewind #youtuberp #youtubevlogger #youtubepremium #youtube #youtuber #youtubers #youtubechannel #youtubevideos #youtubevideo #youtubegaming #youtubemusic #youtubeindia #youtubekids #youtuberindonesia #youtubeitalia #youtubeuse #youtubegamer #youtubelife #youtubesubscribers #youtubersbrasil #youtubebrasil #youtubelive #doctam3 #supercars #purplemante #violaparsifae #performante #jeffreestarcosmetics #maccosmeticsuk #barrym #barrymcosmetics #subscribe
DAR DERBY: Yanga imeitandika Azam FC mabao 3-2 kwenye Uwanja wa benjamin Mkapa, Dar es Salaam, mchezo wa #NBCPremierLeague Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yamefungwa na Fiston Mayele dakika ya 31', Stephane Aziz Ki dakika ya 33' na Farid Mussa dakika ya 78' wakati Azam wakipata magoli yao yote mawili kupitia kwa Abdul Hamis Suleiman Sopu dakika 27 na 47.
The season start like any another season but this was different since yanga managements under doctor Mshindo Msolla and gsm under engineer hersi said invest heavily in new players like fiston mayele, djuma shaban ,yannick bangala ,jesus moloko ,khalid aucho and Djigui Diarra and the new club spoken from their rival simba Haji Sunday manara ,the new squad under the coach nabi start well by beating their rival simba sport club one nil scored by fiston mayele assisted by farid mussa in the community shield (ngao ya jamii) Young African sports club start the 2021-2022 league campaign with narrow win away against Kagera sugar scored by feitoto and another win home against Geita gold followed by wonderful performance against kmc fc azam fc and ruvu shooting and this become the first time young African sports win five matches consecutive in the league in four seasons, After young African sports club lead the nbc premier league since the third round and the first round their opponent especially simba fans and their managements say there are always lead the first round and start lose points in the second round buts this time was different After game weeks 25 its come to count down after their rivalry simba drew one one against Geita gold, the next game week of game week of 26 was against biashara united in which if yanga win there are the champions but unfortunately the game end one one after fiston mayele goal equalized after two minutes by biashara united in ccm kirumba stadium. The next game of game week 27 was against coastal union of tanga which played in dar es salaam in Coach Nasreddine Nabi’s side were declared champions on Wednesday night after picking a convincing 3-0 win against Coastal Union of Tanga in a match played at the Benjamin Mkapa Stadium in Dar es Salaam. In-form striker Fiston Mayele netted a brace, while Chico Ushindi also got his name on the score sheet to ensure Young Africans SC did not have to postpone the celebrations. Young Africans are back to winning ways Young Africans SC who last won the League title in 2017 have accumulated 74 points from 30 matches played. Nabi’s team finish the season unbeaten, their rivals Simba sport club are second on the log with 61 points after 30 matches.
Vinara wa ligi kuu, Yanga SC leo wametoa kichapo cha mabao 3-0 kwa Kagera Sugar katika mbungi iliyopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika mchezo huu, Fiston Mayele amefunga magoli mawili dakika ya 30 na 50 huku la tatu likipigwa na Saidi Ntibazonkiza dakika ya 64.
Yanga SC wamebeba Kombe la Shirikisho la Azam Sports #ASFC kwa kuitandika Coastal Union penati 4-1 kufuatia sare ya mabao 3-3 katika dakika 120. Magoli ya Yanga kwenye mchezo huo yamefungwa na Feisal Salum dakika ya 57, Heritier Makambo dakika 82 na Denis Nkane dakika ya 113 huku magoli yote ya Coastal Union yakifungwa na Abdul Suleiman Sopu ambaye amefunga #Hattrick dakika ya 11, 88 na 98. Katika mikwaju ya penati, Yanga wamefunga penati zote nne walizopiga kupitia kwa Yanick Bangala, Heritier Makambo, Dickson Job na Khalid Aucho huku Coastal wakipoteza penati mbili na kufunga moja kupitia kwa Victor Akpan. Fainali hii imepigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha...... Kutazama full highlights... ingia hapa 🤍
#yanga #yangasc #alikamwe
Yamefungwa magoli saba, yote yakitoka Yanga dhidi ya Rhino Rangers kutoka Ligi Daraja la Pili, katika mchezo wa kusaka kuingia hatua ya 16 bora, Azam Sports Federation Cup uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kennedy Musonda amefunga magoli mawili dakika ya 16 na 46 huku mengine yakitoka kwa Dickson Ambundo dakika ya 7, Stephane Aziz Ki dakika ya 20, Farid Mussa dakika ya 25, Yannick Bangala dakika ya 26 na David Bryson dakika ya 90'+3. Kwa ushindi huu, Yanga sasa itakipiga dhidi ya Tanzania Prisons katika hatua ya 16 bora.